Pages

Search This Blog

Powered by Blogger.

Sunday, October 28, 2012

shilole na barnaba wanarudiana eti..



KUNA tetesi kuwa, penzi lililokuwa limekufa kati ya mwigizaji wa Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Mbongo Fleva, Elias Barnaba limerejea kwa ari, nguvu na kasi mpya.

“Hivi karibuni wawili hao walionekana chobingo, Mbeya kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta na hata Dar pale Leaders Club, walikuwa ‘veri klozi’ nyuma ya jukwaa katika gari la Shilole,” alisema mpashaji wetu.

0 comments:

Post a Comment