Beatmaker mahiri nchini aliyewahi kutengeneza midundo kadhaa ukiwemo Stimu Zimelipiwa (Copy my Motion) wa Joh Makini, Nahreel ameamua kukitumia kipaji chake na elimu masuala ya production kwa kuanzisha darasa la utengenezaji wa beat.
Amesema darasa hilo litajumuisha mafunzo ya kutengeneza beat, kumaster pamoja na kumix.
0 comments:
Post a Comment