STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila‘Ray
C’ameuanika ‘mkoko’(gari) wake ambao anatembelea kwa sasa aina ya
Jaguar ambalo namba zake za usajili hazionekani vizuri ila mwishoni
zinasomeka T…CHL,huku akiandika kwenye instragram kuwa… Jaguar don't
care...CHL means Chalamila Family.
Fungua na uutazame mkoko mpya...
Afrika Kusini, inasema kuwa
itawaondoa wanajeshi wake kutoka Jamuhuri ya Afrika ya Kati, baada ya
waasi kupindua serikali zaidi ya wiki moja iliyopita.
Rais Jacob Zuma amesema kuwa mkataba kati ya nchi hizo mbili umetupiliwa mbali baada ya kung'olewa kwa