Wema Sepetu amekimbilia Benki baada ya mahakama kutoa hukumu mapema leo
hii juu ya kesi ya Kajala na hukumu yake kutajwa kwenda jela miaka 5 au
kulipa faini ya Milioni 13. Wema amejitolea kuamua kumsaidia Kajala ili
aweze kutoka. Habari zaidi utazidi kuzipata hapa kama atafanikiwa kutoa
pesa na kulipa leo leo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment