Baada ya kutokea ugomvi baina ya mastaa wawili wa muziki Tanzania Chiddi
Beenz na Albert Mangwair, mapema leo Chiddi amefunguka
kupitia kurasa
yake ya Facebook na kusema hivi,
"Kuhusu swala la Ugomvi kati ya mimi na Mangwea
naomba lisikuzwe
ikaonekana ni sababu najua wabaya wangu watavyoweza kulikuza hili.hatuna
Ubaya na ngwea na ni boonge la mshkaji..tusameheane haya Maisha
tunatafuta.Peace..no lie"
0 comments:
Post a Comment