Pages

Search This Blog

Powered by Blogger.

Thursday, February 27, 2014

Karrueche goes BLONDE

 photo ScreenShot2014-02-26at12706PM_zps4333e58c.png
Chris Brown's girlfriend Karrueche Tran is switching up her look.  Even if it's just for a new magazine shoot.  Check out a behind the scenes peek at Kae's ANNEX magazine shoot, and decide if we love her blonde bombshell look...

Another day, another photoshoot for Breezy's girl Kae.  As she spends her days partying and standing by her man who just graduated from anger rehab, Karrueche sets aside a little time to expand her modeling portfolio.
Last night, she shot for ANNEX magazine, and she went for a platinum blonde chop for the upcoming spread:
 photo ScreenShot2014-02-26at12728PM_zps48be9d54.png  photo ScreenShot2014-02-26at12715PM_zpsc2048626.png
So...about this blonde wiggery we wouldn't be surprised if she kept for daily wear....

DO WE LOVE IT?!


O...WHO LIED? Friends Of The Patton-Thickes Say The MILEY CYRUS Performance Caused Major Strife In The Marriage + Paula Steps Out For FIRST TIME Since Split

 photo paualstsdjd.png
Despite what the couple said a few months ago, sources close to Robin and Paula are now pointing to Robin & Miley Cyrus' VMA performance as one of the major sticking points in their troubled marriage.  More inside...
Remember Miley Cyrus' "twerking" at the VMAs?  While the performance put both Miley and twerking on the map (for some folks) it simultaneously took the marriage of Paula Patton and Robin Thicke down a very dark road.
While both Robin AND Paula initially claimed that the performance was "pre-approved" and everything was known in rehearsals....new deets to the contrary are leaking out.
Sources closes to Paula (who've been speaking out A LOT) are telling TMZ that Paula felt "utterly disrespected" when she saw her husband bumping and grinding with Miley. We figured she would have been, because WE would have been, but Paula played it cool when talking to the media about it....
After the performance, the couple allegedly had a HUGE a blow-out and Paula told Robin she felt insulted. AND supposedly...ding ding ding...the performance WAS a total surprise!  The friends are saying Miley improvised the raunchy part....but Robin played along!
A source told US Weekly,
"The Miley Cyrus fiasco was a big test of their relationship.  He asked her to help him out as a friend and a wife, and defend him and the performance. He begged her to speak out for him and be there for him. She agreed to be the good wife after he begged and pleaded. "Then he asked her to stick with him through awards season, and she agreed. She attended the Grammys with him as a favor."
And what about those pics of Robin touching a groupie's butt in the club? Paula was PISSED about that too! Friends say things just got worse after that....and never recovered. It seems like Paula no longer trusts Robin after, like, two decades of being together. But...should she?

Paula was spotted at LAX on Wednesday. It was our first time seeing her since the split was announced...

Mlipuko mkubwa watikisa Mogadishu


Mogadishu imeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara hivi karibuni
Mshambuliaji wa kujitoa muhanga amejilipua ndani ya gari na kuwauwa watu 12 na kujeruhi wengine wanane mjini Mogadishu Somalia.
Mlipuko huo umetokea nje ya makao makuu ya maafisa wa usalama .
Mwandishi wa BBC anasema kuwa waliofariki ni maafisa usalama na wengine raia wa kawaida waliokuwa katika mkahawa karibu na hapo.
Kumekuwa na ongezeko la mashambulizi huku vikosi vya nchi hiyo vikipambana na wanamgambo wa al shaabab.
Kundi la wanamgambo la Al Shabaab limekiri kufanya shambulizi hilo ambalo limetokea chini ya wiki mbili baada ya kundi hilo kushambulia ikulu ya Rais mjini Mogadishu
Msemaji wa kijeshi wa kundi hilo amenukuliwa na shirika la habari la Reuters akisema kuwa huu ndio mwanzo tu wa kundi hilo kushambulia Mogadishu na kwamba operesheni yao itaendelea.
Alisema kuwa shambulio hilo lililenga maafisa wa usalama waliokuwa wameketi katika mkahawa mmoja na kuwaua watu 11 huku 15 wakijeruhiwa.
Polisi walisema kuwa takriban watu 10 walifariki katika mkahawa huo ambao unapendwa sana na maafisa wa usalama.
Ingawa kundi la Al Shabaab liliondolewa kutoka mjini Mogadishu na miji mingine, lingali linadhibiti sehemu kubwa za nchi hiyo.
Pia limekuwa likifanya mashambuzli makali dhidi ya serikali na kutatiza juhudi zake za kutaka kudhibiti baadhi ya sehemu za nchi hiyo                                                                                                                                      

Na huu ndio wimbo mpya wa Shetta akiwa na Diamond – Kerewa.

shet4Hii ngoma imetoka leo 27/2 na imefanywa na producer Sheddy Clever.
Nafasi yako ya kuisikiliza na ku-download ndiyo hii.

P Square kuanzisha series yao mpya – The Alingo’s

2
Project hii imefanyiwa kazi kwa muda wa miaka 5 na mwaka huu ipo tayari kuanza kuonyeshwa, taarifa hii imetoka kwenye post ya Peter Okoye.
The Alingo’s ni TV series ya katuni ambayo stars wake ni Peter na Paul wakiwa kwenye muonekano wa katuni.
Project hiyo inasimamiwa na P Classic entertainment kampuni ambayo ipo chini ya P Square na kuongozwa na Peter Okoye.
Hii ni trailer ya series hiyo
4

The Game aweka wazi kuhusu uhusiano wake na Kim & Khloe Kardashian


gameKhloe Kardashian na The game walijiachia pamoja kwenye night club kiasi cha kuwapa watu mashaka kwamba  wawili hao wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi hivi sasa.
Khloe alikuwa wa kwanza kukanusha uhusiano huo na kusema kwamba walikuwa wapo kwenye starehe kama marafiki.
Hivi karibuni The game amepata nafasi ya kuzungumzia kuhusu kile kilichotokea na ametoa exclusive mpya.
Akiwa kwenye radio ya BBC Radio1 Extra The game alisema asingeweza kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Khloe kwasababu alikuwa na uhusiano na dada yake Kim kipindi kilichopita.
“Watu hawajui kuhusu mimi na Khloe kwamba tumejuana miaka 12 iliyopita. Nilikuwa na uhusiano wa kimapenzi na Kim Kardashian kwa muda kidogo sana. Kanye West alikuwa bado mshkaji kipindi kile na hadi sasa bado ni mshkaji wangu na najua Kim anakaribia kuwa mke wake na tayari wanafamilia. Khloe pia ni mshkaji na tuko poa pamoja kwa hiyo hizo tetesi  kati yangu na Khloe hazina ukweli”
k

APPLE WAMTENGENEZEA DAVIDO SIMU YA DHAHABU AINA YA iPhone


He shared his new gold iPhone on his instagram page this morning, exclusively made for him

T-SHIRT ZA DIAMOND ZAUZWA BEI AGHALI


Diamond azindua T-shirt zake na  kuzitangaza mtandaoni na kuacha namba ya simu kwa watakao zihitaji aliandika hivi: * Tsh,20,000 per tshirt,call **+255716186318 *

WOLPER AKANUSHA KUPIGA PICHAZA UTUPU NA MANAIKI



Msanii nyota kwenye tasnia ya filamu za kibongo Jacqkline Wolper na Manaiki Sanga, anayejulikana kama The Don, wako katika bifu kubwa kisa kikiwa ni picha walizopiga pamoja.
Tukio hilo limechukua sura mpya kwenye mitandao ya kijamii baada ya wiki mbili zilizopita gazeti hili kuanika picha za mastaa kadhaa waliowahi kupiga picha zilizozua minong’ono mitaani, kutokana na tabia ya Manaiki kuaminika kuwa ni wanawake aliotembea nao...



 


Maskani Bongo liliandika juu ya Wema Sepetu kunasa kwenye mtandao wa ngono, huku likionesha picha yake kubwa akiwa na Manaiki Sanga wakiwa wamekumbatiana huku picha ndogo ndogo za wasanii wengine maarufu akiwemo Jackline Wolper nao zikiwaonyesha wakiwa na mcheza filamu huyo.

Baada ya habari hiyo kutoka, baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo walichukua kurasa za gazeti hilo na kuiweka mtandaoni na watu walipoanza kutoa maoni yao, Jack alimzungumzia Manaiki na kukanusha kuwahi kushiriki naye mapenzi.

Mjadala mkali ulizuka huku mashabiki wa wasanii hao wakisemana vikali ambapo Wolper aliomba kuelezea jinsi ilivyokuwa hadi akakutana na Manaiki, akasema “Duh yaani mimi nimekuwa mpenzi wa Manaiki tena? Huyu mshikaji alishaahidi kuwa kwa gharama yoyote atakuwa staa, hivyo akatoa mkwanja wake watu tukaula basi,” alisema Wolper.

+DIAMOND AWACHANA WASANII WANAO TAKA KUKUZA MAJINA KUPITIA MGONGO WAKE

Diamond Platnamz ameamua kutoa yake ya moyoni baada ya kumshida kuyavumilia.Kutokana na maelezo yake aliyoyaandika kupitia ukurasa wake wa Instagram, inaoneka amekerwa na tabia ya wasanii wenzake kumsema vibaya na kutengenezea ugomvi wa kilazima pasipokuwa na sababu, wakati yeye anahangaika na mziki wake kivyake...



"kiukweli, nasikitishwa sana jins baadhi ya wasanii kutwa wanavyolazimisha kunitengenezea ugomvi wa kilazima pasipo kuwa na sababu, mara wengine 


wakizusha eti Nimewatusi kwenye Media, Mara sjui Nimepost kuwakashif, yaani 

ilimradi tu....kwanini Wanamuziki wa Tanzania Tunashindwa kubadilika... mbona mi nahangaika na muziki wangu kimpango wangu... Mnasema nyie ndio mnaojua kuimba 

mie sijui "sinatatizo"... Mnasema nyie ndio wenye sauti nzuri yangu mbaya "Sina tatizo"... sasa mbona tena bado mnanifatilia na kutokujua kwangu... Nafkiri ni vyema 
mkaanza kutumia ujuzi wenu kukuza sanaa ya nchi yetu na kuleta heshima na maendeleo nchini, kuliko kupika majungu..... Watu wanataka kazi!"