Pages

Search This Blog

Powered by Blogger.

Saturday, January 19, 2013

MAMILIONI YA WAUMINI WA DINI YA HINDU WAJISAFISHA DHAMBI


Hindu
Mamilioni ya waumini wa dini ya hindu wakiingia kwenye mto wanaouita mtakatifu wa Ganges wenye maji ya baridi, kwa kile wanachoamini kunawasafisha madhambi yao
Whip my hair: The holy men presented an arresting sight at the first day of the festival
tayari watu zaidi ya milioni tatu washaingia katika mto huo kwa jana asubuhi na huku wakitegemea kufika watu million 11 kuingia kwenye mto huo kufikia jana jioni,  kwa ushahidi wa afisa mkuu wa maadhimisho hayo, Mani Prasad Mishra
Procession: A child adorned with marigolds is carried by sadhus on the way to the Sangam
Dawn: A devotee is up at the break of day to pay his respects to the gods in Allahabad
ALLAHABAD
Hindus
Long journey: A foreign devotee joins other pilgrims in prayer at a festival which will go on for over a month
Siku ya jana inachukuliwa kuwa ni siku yenye kheri sana kutokana na kuwa ni siku ya maadhimisho ya siki 55 yajulikanayo kama Kumbh Mela
Contemplation: An Sadhu closes his eyes as he prays while bathing in the confluence of the Yamuna and Ganges rivers
Taking the waters: Thousands of holy men return to camp after taking a dip in the river
Hindu devotees
Hindu holy me
India
Gathering: Millions of pilgrims gather in the early morning light to show their devotion on the first day of the Maha Kumbh Mela
Sights and sounds: A Sadhu blows a conch shell as other Sadhus or Hindu holy men bathe
Crowd: More than 110million people are expected to make their way to the city for the 55-day festival
Mystical: The festival commemorates a famous incident from Hindu mythology
Waumini hao wanaamini kuwa kuoga kwenye mto huo ni kujisafisha madhambi na ku
Kumbh Mela
Polisi wakipiga doria

Mamilioni ya waumini wa dini ya hindu wakiingia kwenye mto wanaouita ni mtakatifu wa Ganges illions of Hindus followed naked holy men into the cold waters of the Ganges today as part of the world's largest gathering of people.
The ceremony in the Indian city of Allahabad came on the most auspicious day of the Maha Kumbh Mela, a 55-day religious festival which is expected to attract well over 100million bathing pilgrims.
A top festival official said nearly 3million people had bathed by late morning and 11million were expected to enter the frigid water by the end of Monday

Kifaa cha Tablet kutoka Afrika


Kifaa cha Tablet
Kifaa cha Tablet kilichoundwa barani Afrika
Simu aina ya smartphone na kompyuta za tablet zinazosemekana kuwa vifaa vya mawasiliano vya kwanza kutengenezwa na kampuni ya Afrika zimezinduliwa.
Vifaa hivyo, ambavyo vimebuniwa na mjasiriamali wa Congo,vinatengenezwa nchini China.
Kampuni yake ya VMK, vifaa vyake vinaendeshwa kwa teknolojia ya Android ya Googles.
Simu hizo za smartphone zitauzwa kwa bei ya rejareja ya dola $170, sawa na pauni za Uingereza (£105) na kompyuta itauzwa kwa dola $300 sawa na pauni (£185).
"Ni Waafrika wenyewe, ndiyo watakaofahamu mahitaji ya Afrika," amesema Bwana Mankou katika mkutano wa Tech4Africa mjini Johannesburg.
"Apple ni kampuni kubwa Marekani, Samsung ni barani Asia na tunataka VMK kuwa kampuni kubwa barani Afrika."
Kifaa cha Tablet kilichoundwa barani Afrika
Blogu ya teknolojia ya Smartplanet imeripoti kuwa kompyuta za VMK zinatoa huduma ya uunganishaji wa wi-fi na uwezo wa gigabytes 4 ambazo zimehifadhiwa ndani yake.
Jina lake, Way-C, lina maana ya "mwanga wa nyota" katika lugha ya Kilingala.
Simu hiyo ya smartphone nyuma na mbele ina kamera na skrini ya ukubwa wa inchi 3.5 sawa na sentimita 8.9.
Verone Mankou
Verone Mankou, ndiye aliyeunda kifaa hiki
Kuna mipango ya kuuza simu hizi katika nchi kumi za Afrika Magharibi pamoja na Ubelhiji, Ufaransa na India.
Bwana Mankou amesema anatarajia kuzindua uuzaji wa kompyuta za bei nafuu zaidi kwa wanafunzi mwaka ujao.
VMK imesisitiza kuwa wakati bidhaa zake zinatengenezwa China kwa sababu za unafuu wa gharama, ubunifu na uhandisi wa simu hizo ni wa Kiafrika.
Hii ni kutokana na baadhi ya watu au kampuni za biashara kupinga uwezo wa kampuni hiyo katika teknolojia ya simu na kompyuta.
Kampuni ya VMK imesema kinyume na bidhaa nyingine za awali za simu na komputa zilizosemekana kuwa za Afrika, bidhaa za VMK hazifanani na bidhaa zozote za aina hiyo katika nchi nyingine.

Suarez akiri hujiangusha makusudi?????

Luis Suarez
Msambulizi wa liverpool, Luis Suarez, ana amini kuwa analengwa sana na vyombo vya habari vya Uingereza lakini amekiri alijiangusha katika mechi moja ya ligi kuu msimu huu.
Katika mahojiana na kituo kimoja cha habari cha ametika ya kusini, mshambulizi huyo kutoka Uruguay, amesema kila mara yeye huangaziwa pakubwa na mashirika hayo kwa kuwa jina lake linafanya magazeti kuuza zaidi.
Suarez ambaye ndiye mfungaji bora wa liverpool msimu huu huku akiwa amefunga magoli 15, mawili nyuma ya nyota wa manchester United Robin van Persie, amekiri alijiangusha wakati wa mechi yao na Stoke City tarehe saba October mwaka uliopita.
Tangazo hilo la suarez limemuudhi kocha wa liverpool brendan roggers, ambaye amesema, mchezaji huyo ataadhibiw kuambatana na sheria za klabu hiyo.
Roggers, ametaja tangazo hilo la Suarez, kama moja ambalo kamwe halikubaliki.

Suarez amwaga mtama

Suarez sasa amewagadhabisha makocha wa timu zingine zinazoshiriki katika ligi kuu ya Premier, na pia mashabiki ambao wanahisi kuwa mchezaji huyo hujiangusha bila sababu.
Kocha wa Liverpool Brendan Roggers
Mwaka uliopita, mlinda lango wa Swansea, Ashley Williams, alisemas kuwa Suarez hujiangusha kuliko wachezaji wote ambao amewahi kucheza nao.
Mapema mwezi huu Suarez, alishutumiwa sana kuhusiana na jinsi alivyofunga bao la pili la Liverpool, baada ya kuunawa wazi mpira wakati wa mechi hiyo ya kuwania kombe la FA dhidi ya Mansfeild Town.
Lakini kocha wa Liverpoo, alimtetea mchezaji huyo akisema kwamba aliunawa mpira bila kukusudia, lakini siku iliyofuatia, vyombo vya hjabari vya Uingereza vilichapisha habari yenye mada, Suarez ni mdanganyifu na mlaghai mkubwa.
Tangu alipojiunga na Liverpool mwaka wa 2011, mchezaji huyo ameandamwa na sakata nyingi.
Amepigwa marufuku ya kutoshiriki katika mechi nane, baada ya kupatikana na hatia ya kutumia lugha ya ubaguzi dhidi ya mchezaji wa Manchester United Patrice Evra na baada ya kumaliza adhabu hiyo, alikataa kumsalimia Evra katika mechi iliyofuatia, hatua iliyomkasrisha sana kocha wa Man United Sir Alex Ferguson.

Watekaji nyara na mateka wauawa Algeria

 18 Januari, 2013 
Kiwanda cha gesi
Harakati za wanajeshi kujaribu kuwaokoa raia wa kigeni waliozuiliwa mateka na wapiganaji katika kiwanda kimoja cha kutengeneza Gesi nchini Algeria zimesababisha vifo vya wapiganaji kadhaa huku mateka wao wakiwa hawajulikani waliko.
Idhaa ya Serikali imesema kikosi maalum cha wanajeshi bado kimezingira sehemu ya kiwanda hicho ambako wapiganaji hao bado wanawazuilia mateka kadhaa.
Kulingana na Maafisa wa Serikali, mateka na wapiganaji waliuawa kwenye makabiliano ya awali, huku taarifa za wapiganaji hao ambazo hazijathibitishwa zikidokeza kuwa raia 35 wa kigeni waliokuwa wamezuiliwa mateka na watekaji nyara 15 waliuawa.
Taarifa za vyombo vya habari zinasema kuwa wanamagmbo wanne wameuawa. Walikuwa wanadai kuwazuilia mateka 41.
Baadhi ya mateka hao waliachiliwa lakini idadi ya walionusurika ilithibitishwa na maafisa wa serikali ya Uingereza ikisema kuwa inajiandaa kwa taarifa za majeruhi wengi wa Uingereza.
Wapiganaji hao wenye uhusianao na kundi la Al-Qaeda, walivamia kituo cha Amenas siku ya Jumatano.
Wakati wa harakati zilizofanywa siku ya Alhamisi, waalgeria wengi pamoja na mateka wanne wa kigeni, wawili kutoka Scotland, mmoja mfaransa na mwingine mkenya waliachiliwa.
Serikali ya Scotland, ilithibitisha kuachiliwa kwa mmoja wa raia wake. Mateka watano wa Marekani pia walinusurika na kuweza kuondoka nchini humo mara moja kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Marekani.
Japan nayo ilisema kuwa raia wake watatu waliachiliwa wakati wa harakati za jeshi lakini wengine 14 hawajulikani waliko.
Mapema wanamgambo walisema kuwa mateka 34 na wapiganaji 14 waliuawa huku saba wakinusurika.
Duru zinaarifu kuwa jeshi la Algeria halijaweza kudhibiti eneo hilo lote na kwamba msako ungali unaendelea.
Wanamgambo walisema kuwa walifanya shambulizi hilo kama kulipiza kisasi hatua ya Ufaransa kuingilia hali ya Mali.

Jeshi la Mali laukomboa mji wa Konna

nisha ndani ya dar!!!!!!!

Friday, January 18, 2013

NISHER:NATUA DAR KESHO KWA KUFANYA VIDEO MPYA YA DJ CHOKA PRESS PLAY KUTOKA B HITS

Director kutoka Arusha maarufu kama Nisher baada ya kufanya vizuri katika upande wa production kupita Nisher Entertainment sasa anazidi kuwafutia watu wengi sana katika tasnia hii ya muziki,sasa kesho anatarajia kutua Dar es Salaam kwa kujiandaa kufanya video mpya ya Dj choka Press Play kutoka B hits. kwa wale ambao wanasubiria video mpya ya Press Play basi huyu ndiye atakayehusika katika kichupa hicho.

picha za utupu za wema sepetu hadharani!!!!!!!!!!

Ikiwa ni mda mchache tu baada ya kupost picha zake zenye kuonyesha wazi sehem za tumbo na kifua kupitia Instagram, picha ya wema imeonekana kusambaa kwa haraka zaidi kupitia mtandao wa jamii "facebook" huku kila mmoja akitoa maoni yake kutoka na mtazamo wake. 
 Obedy Bernard Hakika Ney wa mitego hakukosea, makahaba wenye vwango wako bongo move. Wema ni mfano tosha usio pngika kwa hilo. Halafu inakuwaje mwanatme mwenye akili zako umshobokee kahaba kama huyu? Yaani zkitoka tunzo za khb bora tz huyu malaya hatakuwa na mpinzani.
 Timoth Kalavuze wema noma xnaa!!!
Hija Punch Boy Mbogo no one like you i love you wema sepetu waache waogee 2 kwamba wewr malaya kwangu wewe ni namba moja
Paul Shangal Hamna kioo cha jamii bali ktanda cha jamii
Shabbani Saidi daaaaaaaaa ujuwe dada zetu wana tabu sana naiyote kutaka kufosi kuwa maalufu kama watu wa mbele kumbe awajui kama wana jizalilisha kwani lazima uwe malufu na tama ina wapoza kk tuseme ukweli bwana
Mary Talalela usi judge na ku-coment bad about her mwache ahave funny nyie mnajua wake au magirlfnd zenu huwa wanafanya nini nyuma ya pazia ....? sibora wema .... i love u baby wema sana shoo what u have.
kupitia Instagram wema alipost picha hiyo ikiwa na maneno haya " gats to lose me a few more pounds"